Kama kuna kitu Bongo Flava ime-improve sana miaka ya karibuni, ni visual production. Na "Wonder" ya Diamond Platnumz, chini ya WCB Wasafi, ni mfano mzuri.
Video hii ina-show level ya uwekezaji ambao wasanii wa Tanzania sasa wana-put kwenye kazi zao — kutoka cinematography hadi styling na choreography. Ni mbali sana na siku za video zilizopigwa kwa camera moja.
Hii ndiyo sababu tunasema Culture ni sehemu ya story ya screen ya Tanzania. Music videos ni filamu fupi — na zinaonyesha uwezo wa creative industry yetu.
Kwa wale wanaotaka ku-catch up na visuals bora za Bongo Flava, anza hapa.
Chanzo: BongoScreen